Gilgal Revival church

Gilgal Revival Church

Tunahudumia Jamii tukifata mwenendo wa maandiko matakatifu

Historia yetu

Gilgal Revival Church (G.R.C)  ni huduma iliyojengwa kwa kufuata maandiko matakatifu yaani BIBLIA, nakuamini juu ya wokovu kamili kupitia Bwana wetu Yesu Kristo.

Huduma hii ilianzishwa mnamo mwaka Tarehe 01 mwezi Julai mwaka 2017, chini ya Askofu Mkuu Bishop Paul Israel Shabani,Ilianza ikiwa huduma/kanisa la Mahali pamoja Jijini Dar es salaam, Lakini sasa imeenea na matawi yake katika kanda zote Tanzania na Nje ya mipaka ya Tanzania.

Huduma zetu

hd1

Huduma za Kiroho

Huduma hii imelenga kuhudumia watu kiroho bila kubagua haiba wala asili ya mtu, Watu wote wenye uhitaji wa kiroho wanafikiwa kwa utaratibu maalumu ambapo upo ndani ya katiba ya Kanisa.

c1

Huduma za Jamii

Tunatoa huduma kwa jamii na kuigusa moja kwa moja hasa kwa watu walio ndani ya jamii wenye uhitaji mbalimbali mfano:Wajane ,Yatim ,Wasiojiweza Wafungwa

Matukio Mbalimbali

Karibu Ujumuike nasi katika Kumsifu na Kumuabudu Mungu

Angalia Mahubiri yetu youtube

Tunakukaribisha Ujifunze zaidi kupitia Chaneli yetu ya Youtube

Unahitaji Maombi?

Maisha yanaweza kuwa magumu wakati mwingine, na sote tunahitaji maombi. Tunachukua ombi lako kwa uzito mkubwa, na haijalishi unachopitia, tungependa kuomba pamoja nawe!"

Sadaka

Kwa wewe ambaye Unahitaji kutoa sadaka yako karibu utumie Akaunti zifuatazo:-

eQUITY bank
ACC: 3007211896031
Name: GILGAL REVIVAL CHURCH
MPESA
NO: 0748926277
Name: GILGAL REVIVAL CHURCH
AIRTEL MONEY
NO: 0699775344 / O699775261
Name: GILGAL REVIVAL CHURCH